1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.10.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S6 Oktoba 2017

Kamati ya Tuzo ya Nobeli iliyoko Oslo, Norway, imemtangaza mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobeli wa mwaka huu// Rais wa Marekani, Donald Trump anapanga kuuvunja mkataba wa kimataifa wa nuclear na Iran// Mataifa ya Umoja wa Ulaya yanachukua hatua ya kutoa mbinyo kwa wakimbizi kutoka Afghanistan.

https://p.dw.com/p/2lM9T