Kenya: Wanasiasa wa upinzani wa NASA wanajiandaa kukutana na tume ya IEBC kusaka suluhu ya mvutano uliopo kuhusu tarehe ya uchaguzi mpya wa urais/ Tanzania: Ripoti ya uchunguzi inayoonesha kuwa taifa hilo limekuwa likipoteza mamilioni ya fedha kutokana na wizi unaofanyika katika biashara ya madini/ Wataalamu: Shambulio la silaha za kemikali katika mkoa wa Idlib lilifanywa na majeshi ya serikali