Kiwingu cha suala la hifadhi kwa wakimbizi linaendelea kuzifunika siasa za nchi za Ulaya, ikiwemo Ujerumani// Italia imekabidhi jukumu la shughuli za uokozi wahamiaji wanaovuuka Bahari ya Mediterenia kuwania kuingia Ulaya kwa taifa la Libya// Mawaziri wa mambo ya nchi za nje kutoka mataifa matano makubwa duniani wanakutana mjini Vienna.