Waandamanaji nchini Sudan wamekataa ombi la kufanya mazungumzo lililotolewa na baraza la mpito la kijeshi// Wawakilishi kutoka mataifa kadhaa hii leo wanakumbuka kwa maonyesho makubwa, kuwasili kwa majeshi ya washirika katika fukwe za Normandy Kaskazini mwa Ufaransa miaka 75 iliyopita//Tanzania, Taasisi na Jumuiya za Kiislamu zimemuandikia barua Rais John Magufuli.