Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni:: Mkutano wa kilele kati ya Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini utaendelea huku kukiweko mashaka na wasiwasi katika upande wa washirika wa kikanda wa Marekani/ Human Rights Watch: Maafisa nchini Kenya na polisi waliwatisha wanaharakati ambao wanatafuta haki kutokana na mauaji yaliyofanywa na polisi pamoja na dhulma nyingine wakati wa uchaguzi mkuu 2017