Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa mataifa limesema majeshi ya Urusi yanaiba nafaka nchini Ukraine ambazo zimeshindwa kusafirishwa kupitia bandari za nchi hiyo kufuatia uvamizi wa Urusi+++Amnesty: Urusi imefanya uhalifu wa kivita, Ukraine+++Mahakama Kuu ya Arusha nchini Tanzania imemuachia huru aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili.