Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo anatunukiwa tuzo ya Charlemagne// Maafisa wa uokoaji kwenye mkasa wa kuporomoka jengo la Ghorofa sita wiki moja iliyopita katika mtaa wa huruma mjini Nairobi wanaendelea kuwatafuta manusura// Kongamano la 29 la Kiswahili limeanza hivi leo katika mji wa kusini wa hapa Ujerumani, Bayreuth.