1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.11.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S5 Novemba 2019

Nchini Tanzania kuna matarajio yanayotofautiana kuhusu ujio wa Mdhibiti na Mkaguzi mpya wa hesabu za serikali aliyeanza kazi hii leo/ Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ametimiza miaka 4 tangu aingie madarakani. Watanzania wametoa maoni yao kuhusu siku hii/ kenya: Suala la serikali kuipunguzia bajeti idara ya mahakama imekosolewa sana na jaji mkuu

https://p.dw.com/p/3SVdp