Kampeni za uchaguzi Kenya zaingia dakika za lala salama+++Wataalamu wa Umoja wa Mataifa waitia hatiani Rwanda kushirikiana na M23+++China imetangaza kumuwekea vikwazo spika wa bunge la Marekani Nancy Pelosi kufuatia ziara yake ya Taiwan mwanzoni mwa wiki+++Erdogan kukutana tena na Putin kuhusu Ukraine