1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.06.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S5 Juni 2018

Deutsche Welle yaadhimisha miaka 65// Gumzo kuhusu pendekezo la kuifanyia marekebisho katiba mpya ya Kenya ambayo imewahudumia raia wa nchi hiyo kwa takriban miaka minane sasa, limeshika kasi// Vijana wanaharakati wanaopigania mageuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi wameshiriki katika kongamano lililofanyika katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin,

https://p.dw.com/p/2ywLq