Wiki ya tatu bila ya kifo chochote kinachohusishwa na COVID-19/ Tanzania: Chama kikuu cha upinzani, Chadema kinaonekana kukabiliwa na mpasuko/ Rwanda: Wagonjwa ambao wanahitaji matibabu muhimu hospitali wanalalamika wakisema wanatelekezwa/ Viongozi wa bara la Afrika wamekuwa wakifanya vikao vya kuchangisha pesa za kupambana na Janga la virusi vya Corona katika mataifa ya Afrika