Jana Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, aliongoza mkutano wa harambee kusaka jumla ya euro bilioni 7 na nusu// Maelfu ya wahamiaji waliokata tamaa wako katika hali ya sintofahamu na katika hatari zaidi ya kufa kwa kukosa chakula, maji au malazi katika majangwa na bahari// Leo dunia inaadhimisha siku ya wakunga.