Kwa mara ya kwanza kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis anakwenda nchini Iraq wiki hii// Shirika la waandishi habari wasiojali mipaka limepeleka malalamiko kwa waendesha mashtaka wa serikali ya Ujerumani, wakimtuhumu mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu.