1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.02.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S5 Februari 2020

Merkel anaanza hii leo ziara rasmi ya siku nne kusini mwa Afrika/ Uturuki na Umoja wa Ulaya zilitia saini mkataba kuhusu wakimbizi mnamo mwaka 2016. Sasa pande zote mbili hazifurahishwi na mkataba huo lakini kuufanyia marekebisho inaonekana kuwa vigumu/ Kundi la watalii 27 wakiwemo wenye ulemavu wanne kutoka nchi za Marekani, Israel na Tanzania, wameanza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro

https://p.dw.com/p/3XHrn