Kenya: Serikali imetangaza marufuku ya kutembea usiku katika baadhi ya maeneo ya jimbo la Lamu/ Mahakama Uganda yasema Rukirabashaija aachiwe huru/ HRW: Waliofukuzwa Saudia wanashikiliwa na kuteswa Ethiopia/ Baerbock ameondoka kuelekea nchini Marekani ambako anatarajia kufanya mazungumzo yatakayo zingatia hali ngumu ya uhusiano wa mataifa ya Ulaya na Urusi