Tansania: Mvua kubwa wilayani Kishapu katika mkoa wa Shinyanga kusababisha maji kujaa katika nyumba na kuharibu mali ikiwa ni pamoja na hifadhi ya chakula// Sheria ya malezi ya kimataifa nchini Kongo// Ripoti ya shirika la UNESCO imebaini kwamba katika nchi nyingi za dunia hakuna usawa katika suala la elimu baina ya watoto wa kike na kiume