Nyaraka za Pandora: Wanasiasa wakubwa watajwa kukwepa kulipa kodi/ Pandora Papers: Familia ya Kenyatta yaguswa kashfa ya ulimbikizaji mali ughaibuni/ Tume ya Uchaguzi ya Kenya, IEBC, hii leo imezindua zoezi la kitaifa la usajili wa wapiga kura/ Abiy Ahmed aapishwa kwa muhula mpya kuongoza Ethiopia/ Merkel awaomba wanasiasa kuweka pembeni tofauti zao