Nigeria yamwita balozi wa Afrika Kusini kuhusu mashambulizi/ Wabunge Uingereza wapiga kura kuzuia Brexit isiyo na makubaliano/ Tanzania: Vitendo vya ukatili hasa ubakaji wa Watoto wadogo walio chini ya umri wa miaka mitano pamoja na vikongwe yaelezwa kuzidi kuongezeka/ Kenya: Kaunti ya Uasin Gishu imekuwa ya kwanza kupitisha mswada wa kubadilisha katiba