Watu 30 wauawa Marekani kufuatia mashambulizi mawili tofauti ya risasi.//
Wakuu wa baraza la kijeshi linalotawalaa Sudan pamoja na wakuu wa vuguvugu la waandamanaji, wamesaini makubaliano ya kikatiba yatakayowezesha utawala wa kiraia kwa mpito.//
Majeshi ya majini ya Iran yameikamata meli ya kigeni ya mafuta katika ghuba ya Persia.