Uingereza- Baada ya siku yenye sherehe za matambo,na shamra shamra Rais wa Marekani Donald Trump leo anageukia sasa masuala ya kisiasa na biashara// Jeshi la Sudan limetangaza kufuta makubaliano ya kugawana madaraka lililokuwa limeafikiana na viongozi wa maandamano// China- Kumbukumbu ya miaka 30 baada ya hatua kali zilizochukuliwa dhidi ya waandamanaji waliounga mkono demokrasia.