1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.06.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S5 Juni 2019

Leo hii inatimia miaka 30 tangu vifaru vya jeshi la China vilipoivamia mitaa ya Peking ili kukandamiza maandamano ya amani katika uwanja wa Tiananmen/ Serikali ya Kenya imetoa siku 14 kwa wanaomiliki bunduki haramu katika jimbo la Marsabit, kuzirejesha katika idara ya polisi mara moja/ Maoni: Matumaini ya kuundwa baraza la mpito nichini Sudan yametoweka

https://p.dw.com/p/3JrZE