Congo: Mgonjwa wa mwisho wa Ebola atoka hospitali// Hatua ya jenerali mmoja wa Uganda kutangaza kuwania urais imepokelewa kwa maoni mseto katika kipindi hiki ambapo joto la uchaguzi limeanza kufukuta// Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden ashinda majimbo makubwa tisa katika Jumanne maalumu "Super Tuesday"// Mapambano yaibuka mpaka wa Ugiriki na Uturuki.