China yapongezwa kwa ushirikiano na timu ya WHO Mjini Wuhan// Leo ni siku ya saratani ulimwenguni. Nchini Kenya, ripoti mpya imebainisha kuwa tiba ya saratani na mahitaji ya wagonjwa vinawatia dhiki watu masikini na kuwatumbukiza zaidi kwenye ufukara// amani wa kivita Dominic Ongwen amekutwa na hatia kwa makosa makosa ya kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu.