Uganda- LRA Dominic Ongwen amekutwa na hatia ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu, huku mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binaadamu// Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wamemchagua spika mtiifu kwa Rais Felix Tshisekedi jana// arepublican watalazimika kwenda kwenye rekodi, kumtetea au kumkemea Mwakilishi Marjorie Taylor Greene.