1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.01.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S4 Januari 2019

DR Congo- Kanisa Katoliki nchini humo limesema tayari linamjua aliyeshinda urais, na kuitaka tume ya uchaguzi isitangaze mgombea tofauti// Waziri wa mambo ya nje wa China, Wang Yi, yuko ziarani katika mataifa manne ya Afrika// Mamlaka za Ujerumani zinachunguza kisa cha kuibiwa kwa mamia ya data za taarifa za wanasiasa akiwemo Kansela Angela Merkel.

https://p.dw.com/p/3B38a