Idadi ya watu waliopoteza maisha au kupotea wakiwa kwenye juhudi za kusaka hifadhi ya maisha barani Ulaya kupitia bahari ya Mediterenia ilipunguwa kwa zaidi ya robo nzima mwaka jana 2018// Kwa wiki kadhaa sasa raia wa Sudan wamekuwa wakiandamana kuupinga utawala wa rais Omar al-Bashir// Umoja wa Ulaya unatarajia kuwa na mabadiliko mwaka huu wa 2019.