Serikali ya Tanzania imewapokonya raia na mashirika yasiyomilikiwa na serikali NGOs haki ya kufungua kesi katika mahakama ya mjini Arusha kuhusu haki za binaadamu/COP25 / Kenya inapambana na mafuriko na mvua kubwa iliyoanza mwezi uliopita/ NATO kuadhimisha miaka 70 tangu kuundwa kwake