Marekani na Ulaya zinabeba zaidi ya nusu ya gharama za kurekebisha uharibifu ambao tayari umefanywa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi/ Tumetafuta maoni kutoka kwa watu wa mataifa yanayoendelea barani Afrika kutaka kujuwa iwapo dhamira hii ya COP25 ina maana gani kwao/ Kenya na Ethiopia zilitia mkataba wa kudumisha amani baina yao mnamo mwaka wa 2015