1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.12.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S3 Desemba 2018

Guterres ametoa wito kwa viongozi wa ulimwengu kuzingatia kitisho cha mabadiliko ya tabianchi kwa umakini wa hali juu/ Yemen: Waasi 50 wa Houthi wamesafirishwa kuelekea Oman kwa ajili ya matibabu/ Mahakama jijini Nairobi, Kenya, imekataa kuzuia amri ya inayoyapiga marufuku magari ya abiria kuingia ndani ya kitovu cha mji huo mkuu/

https://p.dw.com/p/39NVE