Uhariri kuhusu muungano wa Ujerumani/ Zoezi la kuwarejesha wakimbizi wa Burundi kutoka Tanzania linaonekana kukumbwa na wasiwasi wa kutofanikiwa kutokana na wakimbizi wengi kuonekana kutokuwa tayari kurudi nchini mwao/ Kutokana na kitisho cha vita kati ya serikali ya Kenya na kundi la wanamgambo la al-Shabab, jamii za visiwa vya Kenya vilivyo karibu na mpaka wa Somalia zinakosa huduma ya afya