Sherehe za kuadhimisha miaka 26 tangu Ujerumani illipoungana upya zinafanyika mwaka huu katika mji wa mashariki wa Dresden// Dunia imeshitushwa na matokeo ya kura ya maoni nchini Colombia// Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ametimiza ahadi ya serikali ya awamu ya tano ya taifa hilo kwa kufanikisha kuhamia Dodoma, mji mkuu wa taifa hilo.