Kundi la Taliban linajiandaa kutangaza serikali mpya Ijumaa huku dunia ikusubiri kwa shauku kuona iwapo utawala mpya utatimiza ahadi zao kwa Afghanistan+++Wanasiasa kadhaa Kenya,wamejiunga katika walichokiita ''Muungano wa Wazalendo'' watakachokitumia kuwania kiti cha urais+++UN yaonya mzozo wa Tigray kuwa mbaya zaidi+++Mshukiwa wa ugaidi auawa na polisi New Zealand.