Shirika la Human Rights Watch lakosoa hatua ya Marekani kuweka vikwazo kwa Mwendesha Mashtaka mkuu wa ICC// Kansela Merkel amesema mkosoaji huyo mkubwa wa Rais Putin wa Urusi ni "muhanga wa uhalifu ulionuia kumnyamazisha// Tanzania: Mahojiano ya kipekee na mgombea wa chama cha kikuu cha upinzani Tanzania Chadema Tundu Lissu// Kagwe: Hakuna fedha ya COVID-19 iliyotafunwa Kenya.