Wagombea 26 wa kiti cha urais nchini Tunisia wameanzisha jana Jumatatu kampeini zao/ Papa Francis wiki hii anaanza ziara yake barani Afrika/ Uganda: Chuo kikuu cha Makerere kimezindua sera kali ya kukabliana na unyanyasaji wa kingono/ Kenya: Shirika lisilo la serikali pamoja na wanaharakati wanaotetea wanyama wanataka serikali nchini humo isitishe mara moja uchinjaji wa kibiasahra wa punda