1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.06.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S3 Juni 2020

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara nchini Tanzania imewakamata watu 18// Mamlaka ya usimamizi wa polisi nchini Kenya, imesema watu 15 wameuawa na polisi nchini humo// Jimbo la Minnesota limeanzisha Jumanne uchunguzi wa haki  za  raia  katika  idara  ya  polisi  mjini  Minneapolis kwa  matumaini ya  kulazimisha  mageuzi  kadhaa  kufuatia kifo  cha  George Floyd.

https://p.dw.com/p/3dBZ0