Watu tisa wauawa katika vurugu za Khartoum/ Trump aanza ziara rasmi nchini Uingereza/ Kenya: Noti mpya ya shilingi alfu moja na nyengine zimeanza kutumika rasmi. Hata hivyo, hatua hiyo imezua mitazamo tofauti katika serikali kuu/ Hatima ya serikali ya muungano haijulikani ikoje baada ya mwenyekiti wa chama kidogo katika serikali hiyo ya muungano kutangaza kwa ghafla anajiuzulu