1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.05.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S3 Mei 2019

Leo dunia ikiadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari// Mjadala umeshika kasi nchini Kenya, kuhusu haja ya mabadiliko ya kikatiba juu ya nafasi za uongozi// Mabadiliko yaliofanywa na utawala wa rais wa Marekani Donald Trump kwenye sheria inayojulikana kama Helms-Burton yameanza kufanya kazi, yakiruhusu kushtakiwa katika mahakama za Marekani, makampuni ya kigeni yanayofanya kazi nchini Cuba.

https://p.dw.com/p/3HrRV