1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.04.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S3 Aprili 2018

Umoja wa mataifa umesema mpango wa dharura wa kuwaondoa wakimbizi walio katika magereza hatari nchini Libya umesimama// Umoja wa Mataifa umeitaja Jamhuri ya Afrika ya Kati kuwa taifa la pili duniani lenye kiwango kikubwa cha ndoa za utotoni// Wakulima wanaoishi katika eneo lililokumbwa na ukame la Laikipia wameamua kugeukia kilimo cha majani ya chai kuimarisha kipato chao.

https://p.dw.com/p/2vOCN