Wanasheria wa Navalny kukata rufaa dhidi hukumu ya zaidi ya miaka mitatu jela/ UN yaelezea wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu katika eneo la Tigray, Ethiopia/ Tanzania: Baraza la tiba asili limepitisha na kuzisajili dawa asili kupambana na mfumo wa upumuaji pamoja na magonjwa nyemelezi yanayosababishwa na virusi vya corona/ Aung San Suu Kyi huenda akashtakiwa na utawala wa kijeshi