1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.02.2016 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S3 Februari 2016

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier leo anatarajiwa kukutana na Rais Hassan Rouhani mjini Teheran katika juhudi za kusuluhisha mzozo baina ya Iran na Saudi Arabia// Mgonjwa aambukizwa Zika kupitia ngono Marekani// Kesi ya Katanga kusikilizwa Kinshasa

https://p.dw.com/p/1HpBe