Ujumbe wa waangalizi wa Umoja wa Afrika umejaribu kuwashawishi wagombea wakuu kwenye uchaguzi wa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ili kukubali matokeo ya uchaguzi// Mwezi uliopita vyama sita vya upinzani nchini Tanzania vilikutana na kutoa azimio maarufu kama 'Azimio la Zanzibar' lililosema kwamba mwaka 2019 utakuwa ni wa kuidai na kuipigania demokrasia nchini humo.