1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.01.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S3 Januari 2019

Kura zikiwa zinaendelea kuhesabiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, tume huru ya uchaguzi nchini humo CENI imeitisha mkutano na waandishi habari mjini Kinshasa// Muunganano wa vyama kumi vya upinzani nchini Tanznaia umefungua kesi katika mahakama kuu kupinga mswada wa sheria mpya ya vyama vya siasa// Kenya- Chama cha Orange Democratic Movement, ODM, kimeanza kuonyesha dalili za mpasuko.

https://p.dw.com/p/3B0E1