1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.12.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S2 Desemba 2022

Marekani, Ufaransa zaapa kuiwajibisha Urusi kwa vita Ukraine+++Hatima ya kisiasa wa Rais Ramaphosa iko matatani+++ Kamati ya pamoja inayowajumuisha wajumbe wa vikosi vya Tigray na wale wa serikali ya Ethiopia, imekutana katika eneo la Tigray+++Kwa mara ya pili mfululizo timu ya taifa ya Ujerumani imeondolewa katika hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Dunia.

https://p.dw.com/p/4KPZk