1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.12.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S2 Desemba 2021

Wabunge wa Kongo hawakushauriwa kuhusu kutumwa kwa majeshi ya Uganda+++Uingereza leo imeidhinisha dawa mpya ya kutibu maradhi ya covid-19 ambayo wataalamu wake wanasema inaweza kuwa na ufanisi wa kukabiliana na aina mpya ya kirusi cha corona Omicron+++Iran yaongeza urutubishaji wa madini ya urani wakati mazungumzo ya nyuklia yakiendelea.

https://p.dw.com/p/43jWy