Ethiopia: Mitandao ya kijamii imegubikwa na wimbi la taarifa za kuiandama Tigray. Wimbi hili linaonesha kushamiri kwa propaganda katika vita vinavyoendelea katika jimbo hilo/ Congo: Wanawake wavuvi katika ziwa Eduard wanasema wanaathirika na vitendo vya uhalifu/ Kenya imeibuka ya 17 kwenye orodha ya mataifa 52 ya Afrika yaliyo na sera, sheria na mifumo inayoyajali maslahi ya mtoto hasa wa kike