Zanzibar: Kuapishwa kwa rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi/ Kukamatwa kwa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kutokana na chama hicho kutangaza kufanya maandamano kwa nchi nzima hadi pale uchaguzi utakapoitishwa kwa mara nyingine/ Ouattara ashinda uchaguzi huku wakiuonya upinzani/ Marekani: Kampeni za uchaguzi wa rais zinaingia siku yake ya mwisho/ Wimbi jipya la COVID-19 lazusha taharuki Ulaya