Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe leo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashtaka matatu ya uchochezi na kisha kuachiwa kwa dhamana//Leo ni siku ya kuhimiza juhudi za kukomesha tabia ya kutowaadhibu wanaotenda uhalifu dhidi ya waandishi habari.