Uchaguzi wa katikati ya muhula hutoa nafasi nzuri kwa kubadili au kuushawishi utawala wa Donald Trump kuhusu masuala mengi, hasa ikizingatiwa kuwa uchaguzi mkuu wa urais utafanyika miaka miwili ijayo// Mahakama kuu ya mji wa Stuttgart imewahukumu raia wawili wa Rwanda kwa uhalifu waliotenda mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.