1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.09.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S2 Septemba 2021

DR Congo: Ituri- Waasi wa ADF kundi la kigaidi kutoka Uganda walishambulia jana msafara wa ma mia ya magari uliokuwa unapewa usalama na jeshi la Umoja wa mataifa pamoja+++Hapo jana Kansela wa Ujerumani Angela Merkel alifanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan+++Taliban kutangaza serikali yale licha ya kuyumba kwa uchumi Afghanistan.

https://p.dw.com/p/3zohM