Jeshi la polisi Tanzania limesema leo kuwa Hamza Mohammed ambaye baadae aliuwawa, alikuwa ni gaidi+++Mwanamuziki maarufu wa mtindo wa Rap kutoka Rwanda anayefahamika kwa jina la Jay Polly amefariki leo Alhamisi akiwa gerezani+++Msafara wa raia huko Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ulishambuliwa na waasi wa ADF+++Wanawake wa Afghanistan waandamana kutaka haki zao kulindwa+++